Kumwembe vs Manara
Sikiliza...1-1 Taifa....lakini, Yanga haikuwa na Three key players..Kamusoko, Ngoma na, Tambwe. Na walikosa mabao ya wazi zaidi. Something is missing Msimbazi. Wachezaji hawana authority kubwa uwanjani kama ambavyo rafiki yangu Haji Manara na mashabiki wanataka. Kama unaweza kusema Simba ina Wacheza wengi wapya na inahitaji muda basi hata Yanga leo ilikuwa na wachezaji wapya nusu ya timu. Raphael, Buswita, Gadiel, Ajib, Rostande, Tshishimbi..game pekee ambayo Simb walionyesha authority kubwa uwanjani (kwa mtazamo wangu) ilikuwa dhidi ya Mbao away...Kuna kitu hakifikii matazamio pale Msimbazi. Kama sio wachezaji kujua uzito wa jezi wanayovaa, basi Labda benchi la ufundi kuna tatizo. Anyway, na nyinyi Yanga hivi Kichuya amewakodi?
Comments
Post a Comment