SHABIKI WA YANGA AMJIBU MANARA KWA HOJA

Simba ya mwaka huu ni hatari sana usajili wetu 1.3 cc tuko vizr 
Simba point 11
Azam point 11
Mtibwa po. 11
Simba 0 Azam 0
Simba 2 Mbao 2
Simba 0 Mirambo 0
Azam kafungwa 1
Yooth Rostan 2
Tinoko. 2
Viwanja
Azam _ Azam complex chamazi
Mtibwa _Manungu Moro
Yanga _ Kaunda Dar upo jangwani pic
zipo kwa anaetaka
Simba_ mpaka sasa uwanja haujulikani
Nikimckia mtu anaongea ama zake ama zangu email msangialfayo@gmail.com


Simba ya mwaka huu tunakikosi kipana 
Simba ya mwaka huu iko vizuri kipa Tanzania One yupo simba
Manula kafungwa 3
Simba ya mwaka huu Pesa kibao
Dereva anadai milioni tano yupo muhimbili wamemtelekeza
Simba ya mwaka huu pesa lukuki 
Hivi ninyi mashabiki mazuzu umetowa wapi ujasiri wa kusema simba tajiri
Semeni hv MO ndio mwenye pesa na co simba mazuzu ninyi
Tena huo msemo mnaosema simba tajiri nicuckie tena leo iwe mwanzo na mwisho mkome 

Comments

Popular posts from this blog

Education for liberation and self-reliance By J.K.NYERERE

MABINGWA LIGI KUU TANZANIA TANGU KUANZISHWA KWA LIGI KUU 1965

*20 REASONS WHY YOU SHOULD BECOME AN HELPING HAND INTERNATIONAL (H2i) MEMBER*.