Michuano ya CECAFA kuanza kutimua vumbi Novemba 25


Michuano ya CECAFA kuanza kutimua vumbi Novemba 25.

Mashindano ya kombe la Afrika Mahariki na Kati (CECAFA) yanatarajiwa kufanyika jijini Nairobi kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 9 mwaka huu, huku timu za Zimbabwe na Libya zimealikwa kama wageni kushiriki.

Mashindano haya hayakuandaliwa mwaka jana baada ya wenyeji Sudan kujiondoa na kisha Kenya iliyochukua nafasi ya kuandaa nayo kujiondoa dakika za mwisho. 

Nchi zitakazoshiriki ni Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Burundi, Sudan, Ethiopia, Sudan kusini, Djibouti, Eritrea, Somalia na Zanzibar.

na samuel samuel

Comments

Popular posts from this blog

Education for liberation and self-reliance By J.K.NYERERE

MABINGWA LIGI KUU TANZANIA TANGU KUANZISHWA KWA LIGI KUU 1965

MALALAMIKO MCC KUHUSU GOLI LA KICHUYA YATU BODI YA LIGI NA TFF